a
Yos 9:3
;
1Fal 3:4
;
1Nya 16:39
1 Chronicles 21:29
29
a
Maskani ya
Bwana
ambayo Musa aliitengeneza kule jangwani, pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa wakati huo vilikuwa viko mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni.
Copyright information for
SwhKC